Amecheza michezo 54 kwenye timu ya Taifa ya Uholanzi akifunga mabao nane, pia aliwahi kuwa kwenye kikosi hicho kilichocheza mchezo wa fainali na Uhispania katika kombe la dunia mwaka 2010.
Klabu ya Chelsea imebaini vitendo vya ubaguzi , nauchunguzi zaidi unaendelea lakini kama vitabainika dhahiri vitendo hivyo kuwani vya ubaguzi wa rangi kama klabuitachukua hatua kali zikiwemo za kuwafuta uanachama na kuunga mkono sheria zakiserikali kuchukua mkondo wake juu ya suala hilo
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Liverpool ya Uingereza Daniel Sturridge amekutwa na hatia ya kuvunja kanuni za kubashiri cha chama cha soka England. FA imesema katika taarifa yao kuwa kitendo hicho kimetokea mwezi Januari mwaka huu, ambapo Sturridge anatuhumiwa kuvunja kanuni inayokataza kutoa taarifa za wachezaji, viongozi, uchaguzi wa...
LIVERPOOL vs FULHAM, LIVERPOOL KUSHINDA SABABU: Mechi tano zilizopita, Liverpool ameshinda mechi 3 , akatoka sare mchezo mmoja na kupoteza mchezo mmoja. Wakati Fulham katika mechi tano zilizopita amefungwa mechi zote. Mechi nne zilizopita kati ya Liverpool na Fulham , Liverpool wameshinda mechi zote. Na katika mechi nane dhidi ya...
Hapana shaka Manchester United ilikuwa alama halisi ya mafanikio katika mpira wa England. Hawa ndiyo walikuja kutoa utawala wa Liverpool na kuja kuweka utawala wao. Utawala ambao uliwafanya wajimilikishe kila kitu ambacho walikuwa wanakitaka. Na hapa walikuwa chini ya Sir. Alex Ferguson. Mtu mwenye mbinu nyingi za kushinda. Utawala wao...