Klabu ya Manchester United imezindua jezi zake za msimu wa 2020/21, katika jezi hizo ile ya chaguo la tatu ndiyo imekuwa gumzo kubwa mitandaoni kite duniani. Wakizifananisha na pundamilia na wengine wakihusisha wafungwa. Mtandao wetu unakuletea usiyoyafahamu kuhusu muundo huo wa jezi. Julia mwisho Kuna kitu kimoja kuhusu hii jezi....
Ligi kuu ya England imemalizika leo kwa kushuhudia Liverpool kubeba imebeba taji lake la kwanza baada ya miaka 30 , wakati huo huo timu nne ambazo zimefanikiwa kufuzu ligi ya mabingwa barani Ulaya msimu ujao ni Liverpool, Manchester City , Manchester United na Chelsea. Kwenye tamati hii ya ligi kuu...
Michezo yote 92 iliyobaki itatangazwa moja kwa moja, na mechi nne kuonyeshwa na kituo cha BBC mara ya kwanza kufanywa kuwa bure kwanda hewani kwenye TV