Mabingwa Ulaya

Mabingwa Ulaya

Rekodi za Bernabeu zinavyoibeba Madrid

Baada ya kushuhudia vilabu vya Barcelona na Manchester city, vikitupwa nje ya michuano Uefa Champions League leo hii tutashuhudia Bayern Munich wakikaribisha Sevilla, lakini pia Real Madrid wataikaribisha Juventus ya Italia Juventus hawana rekodi ya kuridhisha wanapoingia kunako dimba la Santiago Bernabeu, katika michezo 8 waliyocheza kunako uwanja huu wameshinda...
Mabingwa Ulaya

Rekodi zinavyompasua kichwa Pep Guardiola

Ni mchezo wa robo fainali ya michuano Uefa Champions League, Liverpool dhidi ya Manchester City ni mchezo unaowakutanisha makocha bora kwa sasa barani Ulaya Juggen Klopp ndiye kocha aliyefanikiwa kuwa kikwazo kwa Pep Guardiola, rekodi zinaonesha amemfunga mara sita katika michezo 12, waliyokutana ikiwa ni idadi kubwa zaidi kuliko kocha...
Mabingwa Ulaya

Ronaldo alisimama kwenye ngazi ya Zidane

Timu zote zilikuwa zinacheza mfumo wa 4-4-2 lakini kwenye maumbo ya mifumo ndiyo zilikuwa zinatofautiana. Real Madrid ilikuwa inacheza 4-4-2 Diamond na Juventus ilikuwa inacheza 4-4-2 katika umbo la flat? Ronaldo akifunga bao Upi uimara na udhaifu katika mifumo hii kwenye mechi ya jana? Massimiliano Allegri alionekana kuzidiwa kwenye mbinu...
Mabingwa Ulaya

Mourinho alivyojikaanga na mafuta yake mwenyewe

Manchester United wamesukumwa nje ya michuano ya Uefa Champions league, hii ndio lugha nzuri unayoweza kuitumia, katika mchezo ambao Sevilla wameondoa lile jinamizi baya la kutofanya vizuri kunako ardhi ya malikia Ndio Sevilla wamefanikiwa kuondoa jinamizi, kwa maana hapo kabla walicheza michezo minne nchini Uingereza wakiambulia sare tatu na kufungwa...
Mabingwa Ulaya

Dondoo muhimu kuelekea mechi ya Man U dhidi ya Sevilla.

Kuelekea mechi ya marudiano ya ligi ya mabingwa barani ulaya kati Mashetani Wekundu Manchester united dhidi ya Sevilla ya Hispania nini tutegemee? Baada ya kupata matokea mazuri dhidi ya mahasimu wao Liverpool weekend hii Manchester United ambao wanapewa nafasi kubwa kusonga hatua ya robo fainali lakini bado wanakibarua kigumu mbele...
Mabingwa Ulaya

Akili ya Kiitaliano iliamini kwenye miguu yenye Samba

Kwenye mechi kumi (10) kabla ya jana alikuwa amefanikiwa kufunga magoli mawili (2)pekee, hapana shaka tangu kifo cha mama yake kiwango chake kilikuwa cha kupanda na kushuka. Hakuwahi kusimama kwenye kiwango bora kwa muda mrefu mara baada ya mama yake kuachana naye na kwenda kwenye makazi yake ya milele. Alikaa...
Mabingwa Ulaya

Spurs yawangojea Juve waje machinjioni tu!

Hakika ulikuwa ni mchezo mzuri sana, wakuvutia na uliojaa ushindani mkubwa kutokana na namna ambavyo timu zilivyocheza, uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na matumizi ya mbinu kitimu ni vitu ambavyo viliingeza ugumu kwenye mchezo huuMIFUMO; Juventus waliingia katika mchezo huu wakitumia mfumo wao wa 4-3-3 flat, kwa maana ya Giorgio...
1 4 5 6
Page 6 of 6