Tatizo lilianza kwenye chozi la Salah.
Mwanzo mwa msimu ulianza na tabiri nyingi kuhusu maisha ya Zinedine Zidane pale Santiago Bernabeau. Wengi waliamini miguu yake haiwezi kudumu kukanyaga nyasi za Santiago Bernabeu. Tulimpa mwezi wa kuwepo Santiago Bernabeu, tukampa wiki mbili, Mwisho wa siku tukampa mechi tatu lakini akili ya Perez haikuwa kama tulivyokuwa tunawaza na...