Mabingwa Ulaya

Mabingwa Ulaya

Tatizo lilianza kwenye chozi la Salah.

Mwanzo mwa msimu ulianza na tabiri nyingi kuhusu maisha ya Zinedine Zidane pale Santiago Bernabeau. Wengi waliamini miguu yake haiwezi kudumu kukanyaga nyasi za Santiago Bernabeu. Tulimpa mwezi wa kuwepo Santiago Bernabeu, tukampa wiki mbili, Mwisho wa siku tukampa mechi tatu lakini akili ya Perez haikuwa kama tulivyokuwa tunawaza na...
Mabingwa Ulaya

Salah atengua Saumu, kisa Real Madrid

Daktari wa klabu ya soka ya Liverpool Ruben Pons amethibitisha kuwa mshambuliaji Mohamed Salah hatofunga Ramadan leo wala kesho katika kuelekea mchezo wao wa fainali ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya dhidi ya Real Madrid. Salah ambaye ni Muislam alikuwa katika mfungo toka Mei 16 lakini sasa imebainika kuwa hatofunga...
Mabingwa Ulaya

Mane atuma zawadi kwa wakazi 300 kijijini kwake

Mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane amewapa zawadi wakazi wa mji wa Bambali mjini Senegal (Mji aliokulia) wa fulana 300 kwa ajili ya kuzivaa wakati Liverpool itakapokuwa uwanjani kucheza na Real Madrid katika fainali ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya kesho. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 26 amegawa fulana hizo...
Mabingwa Ulaya

Ni Real Madrid tena? Au Liverpool?

Ulevi wa timu hizi kwenye Ligi ya Mabingwa utatia ugumu wa mchezo? Hapana shaka kwa sababu zinakutana timu ambazo ulevi wao mkubwa ni michuano hii ya Ulaya, damu huchemka na wehu uingia akilini mwa kila mchezaji wa timu hizi linapokuja suala la Ligi ya mabingwa barani ulaya. Real Madrid wanatafuta...
Mabingwa Ulaya

Bayern Munich kubomoa rekodi ya Santiago Bernabeu

Bayern Munich wanaonekana ni vibonde kwa miaka ya hivi karibuni dhidi ya Real Madrid, katika michezo 6 ya hatua ya mtoano wamepoteza yote hii ni idadi kubwa kwao dhidi ya timu moja katika Uefa champions league Bayern Munich, katika michezo yao 13, ya hivi karibuni ya Uefa champions league wakiwa...
Mabingwa Ulaya

Buffon nisome na kunielewa mimi

Kila mtu anamuonea huruma na kuna wakati mwingine huruma hizi zinaenda sambamba na sifa nyingi kuhusu kipaji chake. Golikipa aliyedumu kwa muda mrefu tena kwenye kiwango chake bila kutetereka, miaka 40 inasomeka kwenye paji lake la uso lakini anadaka mipira ya mashuti ya vijana wa miaka (20-29) Kuna wakati mwingine...
1 3 4 5 6
Page 5 of 6