Killi Stars yaibukia Zanzibar
Kwa matokeo hayo sasa Killi Stars inakua na alama tatu baada ya michezo miwili huku Zanzibar Heroes wakibaki na alama yao moja walioipata katika mchezo wa kwanza dhidi ya Sudan.
Makame ashindwa kuing’arisha Zanzibar Heroes
Kipa wa Zanzibar pia ameonyesha kiwango kizuri katika mchezo huo kwa kuokoa michomo hatari katika lango na kuifanya Zanzibar kuambulia walau alama moja.
Tukikosacho kipo Zanzibar
Mwisho wa kila safari huwa kuna funzo kubwa ndani yake, na binadamu siku zote huimarika na kuwa bora kupitia mafunzo...
Heroes wametupa maana ya kuvaa jezi ya taifa
JANA jioni Zanzibar Heroes wamekufa kiume katika ardhi ya Mzee Jomo Kenyata pale Kenya. Wamekufa kiume kwa mapigo ya penati....
Zanzibar anzeni hapa ndipo nitawasifia na mimi
Michuano ya CECAFA inaendelea kwa kuzikutanisha timu za taifa za wakubwa za nchi wanachama na nchi waalikwa kutoka kanda tofauti...
Mudathir Yahya anapotupa maana ya mchezaji wa mkopo
Nimetazama Singida United. Nimeitazama Taifa Stars na sasa naitazama Zanzibar Heroes kule Kenya, kote huko namuona kijana mmoja wa kuitwa...