Aidha rais Infantino pia ameonyesha kuheshimu na kumshukuru Rais wa TFF Wallace Karia kwa juhudi zake kubwa katika kukuza mchezo wa soka katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati [CECAFA].
Baada ya mchezo huo kumalizika mashabiki waliojitokeza uwanjani hapo walilizunguka gari lililobeba wachezaji wakiwashukuru kwa juhudi walizozionyesha msimu huu licha ya kuambulia kombe la Mapinduzi pekee.