TetesiUhamishoTetesi zote za usajili barani Ulaya hizi hapa.Sekwao Mwendi5 years ago“ Hatuko tayari kumuachia Solanke hata kwa mkopo, na kama atataka kwenda na aende lakini ajue kuwa hatocheza atakaa kwenye benchi tu
Kwaheri Eden Hazard.Sekwao Mwendi5 years agoMuda wa mashabiki wa Chelsea kusema “kwaheri” kwa mshambuliaji wao matata na msumbufu, Mbelgiji Eden Hazard umewadia.
BlogCole atangaza kutandika daluga.Issack John5 years agoKiungo mshambuliaji Joe Cole ambaye amewahi kuhudumu katika timu ya Taifa ya England, na vilabu kama West Ham na Chelsea...
EPLCascarino: Kocha Sarri hajui kumtumia N’Golo Kante.Issack John5 years agoAliyekua mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Tony Cascarino ameonesha kuchukizwa na mfumo wa meneja wa sasa wa klabu hiyo Maurizio...
BlogEPLMambo Matano Niliyojifunza Kwenye Mechi Kati Ya Chelsea Na Manchester UnitedMartin Kiyumbi5 years ago1: Manchester United wameshanunua kifurushi cha kipindi cha pili. Waweza ukawatesa sana , ukawaonea na kuwabonda sana kipindi cha kwanza...
EPLShearer awatoa Arsenal, Chelsea mbio za Ubingwa EPL.Issack John5 years agoMshambuliaji wa zamani wa Newcastle United Alan Shearer amesema ligi kuu ya England ni kama ya mafarasi wawili kwa sasa...
EPLSarri, anamtengeneza Messi na Ronaldo katika miguu ambayo Mourinho na Conte walishindwa.Martin Kiyumbi6 years agoKuna kipindi yalikuwa ni mazoea, mazoea ambayo yalikera. Ikawa kila siku wao. Vyombo vya habari vilitamani viwaandike wao na wasomaji...
BlogSunderland wavunja mkataba na Msenegal Papy Djilobodji.Issack John6 years agoKlabu ya soka ya Sunderland imevunja mkataba na mlinzi Papy Djilobodji baada ya kuchelewa kuripoti kambini pamoja na kurudi akiwa...
EPLKocha wa zamani wa Chelsea, ashauri Hazard auzweIssack John6 years agoKocha wa zamani wa Chelsea, Steve Clarke ameishauri timu yake kufikiria kumuuza mshambulijai wao Eden Hazard ili kupata fedha za...
EPLJurgen Klop kuendeleza ubabe wake kwa Chelsea?Abdallah Saleh6 years agoLiverpool wanakwenda Stamford Bridge kuvaana na wenyeji wao Chelsea, katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza maarufu kama EPL, Liverpool...