Sichezi kuwafurahisha mashabiki – Molinga
Katika ziara ya mechi za kirafiki zilizochezwa Mwanza , Molinga "Falcao" amefanikiwa kufunga magoli 3 katika mechi mbili alizocheza, goli lake la kwanza alilifunga dhidi ya Pamba fc na jana amefanikiwa kufunga magoli mawili dhidi ya Toto Afrika katika mchezo ambao Yanga wamefunga goli 3-
Hii ndio ZESCO United! rekodi, Historia na mataji hivi hapa.
Kwa upande wa kimataifa, ZESCO imeshiriki klabu bingwa mara tano, huku mwaka 2016 wakiishia hatua ya nusu fainali, kabla ya mwaka 2018 kuishia hatua ya Makundi.
Mo Dewji aibuka upya, awaomba msamaha Wanamsimbazi
Baada ya kutolewa katika mashindano hayo ya kimataifa kwa sasa Simba imejipanga kuhakikisha inatetea taji lake la ligi kuu Tanzania bara, huku ikianza vizuri kwa ushindi wa goli 3-1 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa kwanza wa ligi.
Yanga wana Sababu 5 za kupata ushindi dhidi ya Rollers .
Viwanja vya Afrika huwa havina watazamaji wengi kiasi cha kuwatisha wageni. Yanga imezoea kucheza viwanja vya ugenini vyenye mashabiki waliojaa mpaka pomoni ligi kuu, hivyo si rahisi kutishwa na idadi kiduchu wa mashabiki wa Rollers.
Kagere apandishwa mzuka na Mashabiki.
“kwetu mashabiki sio mchezaji wa 12 kama ulivyo msemo wa Kiswahili, bali ni mchezaji wa kila nafasi uwanjani, tunashinda, tuna kikosi bora lakini mashabiki wanachangia sana..”
Ratiba ya “Simba day” yaingia mchanga.
Tukio hili limefanikiwa kwa miaka 9 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2009 na aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Mzee Hassani Dalali. Maadhimisho ya miaka 10 ya Siku ya Simba huenda yakaingia
Mchezo wa TP Mazembe wahairishwa, kumuua Mnyama.
TP Mazembe chini ya kocha Pamhile Mihayo Kazembe, inashika nafasi ya 2 katika msimamo wa Linafoot ikiwa na alama 58 wakicheza michezo 23 nyuma ya vinara AS Club Vita wenye alama 65 katika nafasi ya kwanza wakicheza michezo 25.
Wajue TP Mazembe, rekodi na wachezaji wao..
TP Mazembe ilianzishwa mwaka 1939 ikijulikana kwa jina la FC Saint Georges, uwanja wake una uwezo wa kubeba jumla ya watazamaji 18,500. Rais wa klabu
Yanga sc kwenda Shelisheli, Chirwa, Kamusoko kubaki Dar
KIKOSI cha mabingwa wa soka Tanzania Yanga Sc, kinatarajia kusafiri kesho asubuhi kueleka Shelisheli tayari wa mchezo wa marejeano wa...