Sababu nne kwanini Yanga itaifunga Mbeya City
Yanga inaanza kupata ushindi leo
Mambo usiyoyajua mechi za ufunguzi Ligi Kuu
Tunastahili kusimama na kumpigia makofi John Bocco.
Timu 10 Bora, kwa Misimu 3, Mechi 106
Hizi ndio timu bora 10 katika mechi 106 zilizocheza kwa misimu mitatu. Lakini kumbuka, kuna timu mbili katika timu hizi bora msimu ujao hatutakuwanazo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Yanga kagoma kuwa City, tegemeo kwa Wajelajela!
kuamua kurefusha safari ya ubingwa na kusubiri mpaka mchezo wa Ndanda katika dimba la Nang'wanda Sijaona mkoani Mtwara.
Kocha Simba afichua jinsi watakavyobeba ubingwa kesho!
Kuhusu hali ya kikosi kocha Sven amesema wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri na wapo tayari kwa mchezo isipokuwa kiungo.
Bocco: Mashabiki njooni uwanjani muone!
Tunafahamu mechi zitakuwa ngumu kwa kuwa kila timu inahitaji pointi tatu katika kipindi hiki ligi ikielekea ukingoni lakini.
Tujadili Mechi za Leo Ligi Kuu ya Vodacom
Ungana nasi kupiga stori kuhusu mechi zote za leo Ligi kuu ya Vodacom Tanzania hapa, ukiwa pamoja na waandishi na wachambuzi wa kandanda.
Hii Galacha wa mabao wa kandanda ni nini?
Tovuti ya kandanda husheherekea na wachezaji wanaofunga mabao mengi katika Ligi Kuu kila mwezi.
Mziray: Kwa muda huu!!, Mbeya City wamekwisha.
Alliance wanashuka dimbani jumapili hii kucheza na Mbeya City kwenye uwanja wa Nyamagana wakitoka kupata alama moja dhidi ya Tanzania Prisons baada ya sare ya bao 1-1
Ambokile anaelekea Misri.
Mshambuliaji wa klabu ya Mbeya City, Eliud Ambokile, yupo safarini muda huu kuelekea Misri kwaajili ya majaribio karika klabu ya El Gouna SC inayoshiriko Ligi Kuu nchini humo.