archiveMbeya City FC

Ligi Kuu

Maandalizi ya Yanga dhidi ya MCC yakamilika.

Afisa Habari wa klabu ya soka ya Yanga Dismas Ten amesema maandalizi kuelekea katika mchezo wao wa Ligi dhidi ya Mbeya City yanaendelea vizuri na kwamba Kati ya wachezaji 20 ambao wamesafiri na timu hakuna ambaye anamajeraha yatakayomuweka nje ya mchezo huo.
1 2 3
Page 2 of 3