Simba Yaingia Kambini, Hali za Inonga, Manula na Kanoute Zawekwa Wazi
Kuelekea mchezo huo kumekua na sintofahamu ya hali ya afya ya wachezaji wake watatu ambao wamekosekana katika michezo ya hivi karibuni kutokana na majeruhi.
Kuelekea mchezo huo kumekua na sintofahamu ya hali ya afya ya wachezaji wake watatu ambao wamekosekana katika michezo ya hivi karibuni kutokana na majeruhi.
Kuelekea mchezo huo kumekua na sintofahamu ya hali ya afya ya wachezaji wake watatu ambao wamekosekana katika michezo ya hivi karibuni kutokana na majeruhi.
Tutadondoka na kushindwa kuchukua ubingwa lakini sio kufungwa na kutangaziwa ubingwa mbele yetu. Narudia tena hatupo tayari kuwa ngazi ya Yanga kwenye kutagazia ubingwa,
Pia kwa upande wa nyota Jean Baleke yeye amefanikiwa kuwafunga mabao matano katika michezo miwili mfululizo ndani ya siku nne
Nae kocha wa Simba Robertinho Oliveira amesema walipata ushindi juzi lakini huu ni mchezo mwingine wa Ligi ambao wanahitaji kuwa bora.
Baada ya ushindi huo sasa Mnyama Simba atakutana na Azam Fc katika nusu fainali ya michuano hiyo ya FA
Wengi tunawahukumu Rivers kwa tulivyowaona mara ya mwisho walivyocheza na Yanga. Kisha tunapima kuimarika kwa Yanga. Tukitoka hapo moja kwa moja tunaona Rivers kashatolewa na Yanga kasonga mbele
Vita ya Simba na Ihefu ni kama bado haijakwisha kwani siku tatu mbele yaani tarehe kumi watakutana tena mkoani Mbeya Mbarali
Fainali ya mwaka huu itafanyika mkoani Tanga wakati michezo ya nusu fainali itafanyika Singida na Mtwara.
Pia Shirikisho la soka Barani Afrika CAF limethibitisha michezo ya fainali kwa mashindano yote hiyo itafanyika katika mfumo wa nyumbani na ugenini kama ambavyo awali ilikua ikifanyika tofauti na mwaka jana pekee ambapo mchezo wa fainali ulikua mmoja tu.