Okrah Amerudi Kapombe Ndio Hivyo Tena.
Nae mlinzi wa pembeni wa Simba Shomary Kapombe aliepata majeraha katika mchezo dhidi ya Raja Casablanca na kutolewa katika dakika za mwishoni
Nae mlinzi wa pembeni wa Simba Shomary Kapombe aliepata majeraha katika mchezo dhidi ya Raja Casablanca na kutolewa katika dakika za mwishoni
Kuhusu kumsajili Mayele Simba Mohamed Dewji amesema hajui mkataba wake na Yanga upoje lakini kama benchi la ufundi Simba watamtaka na yeye mwenyewe atakua tayari basi anakaribishwa Simba.
Tangu ilipochukua ubingwa mwaka 2018 bado haijawa tena tishio sana na kama Simba watakwenda Tunisia kucheza nao robo fainali itakua ni mara yao ya kwanza kwa miaka ya hivi karibuni
Tayari klabu ya Simba imeonyesha kuhitaji ushindi katika mchezo huo na kwa kuonyesha wanauchukulia kwa umuhimu mchezo huo wachezaji wote wanapaswa.
Simba itampasa kuchanga vyema karata zake katika mchezo wa kwanza kama kweli wanataka kwenda nusu fainali kwani wataanzia nyumbani mchezo wa kwanza na kumalizia ugenini mchezo wa mwisho.
Kufuatia kipigo hicho kutoka kwa Raja klabu ya Simba sasa imepata ushindi katika michezo mitatu pekee kwenye kundi lao huku ikifunga mabao kumi na kuruhusu mabao saba.
Mchezo wa kwanza uliopigwa Jijini Dar es salaam Simba walikubali kipigo cha mabao matatu kwa bila mbele ya mashabiki wake na katika mchezo wa leo pia wamekubali kipigo cha mabao matatu kwa moja ugenini katika Jiji la Casablanca.
Tumejiandaa vizuri japo bado tuna uchovu wa safari lakini kwetu haitakua sababu.
timu kariba ya Raja Casablanca ni dhahiri inaweza kuonyesha ni kwa kiasi gani kikosi cha Simba kina mapungufu ama kimetimia katika maeneo gani haswa wakiwa nyumbani.
Mashabiki wametambua nguvu yao katika mchezo huu na wametambua kuwa hiki ndo kipindi timu yao inawahitaji zaidi Uwanjani.
Ndo maana wamenunua tiketi kwa wingi tena ndani ya muda mfupi.