Simba na Yanga kurudi kusaka ubingwa.
Baada ya kumaliza majukumu ya Kimataifa katika michezo ya Klabu bingwa kwa upande wa Simba na Shirikisho kwa Yanga na kupata ushindi sasa wanarudi dimbani katika Ligi Kuu ya NBC.
Baada ya kumaliza majukumu ya Kimataifa katika michezo ya Klabu bingwa kwa upande wa Simba na Shirikisho kwa Yanga na kupata ushindi sasa wanarudi dimbani katika Ligi Kuu ya NBC.
Ligi ya NBC inaelekea ukingoni huku michezo mingi ikionekana kuwa na ushindani mkubwa mno na hivyo kupelekea ligi kuzidi kunoga na michezo kuvutia.
Simba watajilaumu wenyewe kwa kutoka na ushindi mwembamba kwani walitengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini hawakuzitumia
Pia kocha huo ameongeza wapinzani wake anawajua kwani amewasoma vyema na anajua jinsi ya kuwadhibiti Waganda hao.
Mlinzi huyo wa kati alikuwepo wakati Simba inafuzu robo fainali mbele ya AS Vita katika msimu wa mwaka 2019 kabla yakutolewa na TP Mazembe robo fainali.
Ally amesema Sawadogo ni mchezaji mzuri shida tu kwamba bado hajazoea mazingira na anakosa utimamu wa mwili lakini si mchezaji mbovu kama wanavyosema.
Shirikisho la soka nchini linatarajiwa kuendesha droo ya robo fainali pia kutaja uwanja utakaotumika katika michezo ya fainali na nusu fainali mapema mwezi huu.
Mechi dhidi ya Horoya tulicheza vyema lakini hatukupata matokeo sasa utachagua ucheze vizuri au upate alama tatu
Simba wanakwenda kutupa karata yao ya nne katika kundi lao ambapo msimamo wa kundi unaonyesha bado wana nafasi wakiwa na alama zao tatu huku wapinzani wao Vipers wakiwa na alama moja pekee.
Hatupo tayari kuishia hatua ya makundi. Tulikwenda kuchukua alama tatu kwa Vipers lakini hatujamaliza