Jinsi Phiri na Dube walivyooingiza Simba kwenye rekodi.
Kutokana na ushindani huo umepelekea kuwekwa kwa rekodi mbalimbali na kunogesha ligi hiyo ambayo ni namba tano kwa ubora barani Afrika.
Kutokana na ushindani huo umepelekea kuwekwa kwa rekodi mbalimbali na kunogesha ligi hiyo ambayo ni namba tano kwa ubora barani Afrika.
Goli hilo lilionekana kushangiliwa kwanguvu na mashabiki wa Simba kutokana na ufundo mkubwa uliokua unaonyeshwa na Mohamed Mussa
Mbrazil huo pia amesema kwa kiasi kikubwa watatumia wachezaji ambao wamekua hawapati nafasi katika kikosi cha kwanza kutokana na jinsi ratiba ilivyowabana.
Baada ya vigogo hao kumaliza ratiba zao tarehe 18 na 19 ya mwezi wa tatu watapumzika na kuipisha timu ya Taifa ya Tanzania kucheza michezo yake ya kufuzu Afcon
Kwenye ligi tayari wana nafasi finyu yakutwaa ubingwa na tayari wameshaachwa alama nane na watani zao Yanga wanaoongoza Ligi.
Ama kwa hakika Simba ana wakati mgumu zaidi kufuzu ukilinganisha na Yanga ingawa kila kitu kinawezekana katika soka.
Katika mchezo huo Inonga na Onyango walicheza dakika zote tisini na kufanikiwa kulinda ngome yao na kumaliza mchezo kwa mara ya kwanza bila nyavu zao kutikiswa
Katika mchezo mwingine wa kundi hilo Raja Casablanca atamkaribisha Horoya kutoka Guinea katika dimba la Mohamed VI mabapo Vipers alisuulubiwa kwa mabao matano kwa sifuri.
Lakini endapo Simba watapata sare ama kupoteza maana yake ndoto zao zakufika nusu fainali mwaka huu zitakua zimekufa rasmi bila kujali matokea ya Horoya dhidi ya Raja.
Siwezi kukuombea mazuri wewe na wenzio mkiwa uwanjani na timu yenu , lakini kama rafiki yako nitaendelea kukuheshimu daily , Kwa unachoendelea kutoa Kwa ajili ya football ya nchi hii.