‘Fyeka Burundi’ wanadhani ni maneno tu!
Tanzania itacheza leo dhidi ya Burundi na kauli mbiu hii kama imeshapuuziwa na Burundi, basi ilete maana sasa ndani ya uwanja zaidi.
Burundi wagundua mbinu ya Taifa Stars
Kwa upande wa Taifa Stars, wao wapo tayari nnje na ndani ya uwanja pia. Tayari kabisa kwa mchezo wa leo.
Wachezaji 7 hatari wa timu ya taifa ya Burundi hawa hapa.
Tanzania, Taifa Stars, itaanza kampeni yake ya kutafuta Tiketi ya kombe la dunia 2022 dhidi ya Burundi, pitia kuwafahamu wachezaji hatari
Manula anena kuhusu Kaseja na Kakolanya kuchukua nafasi yake.
akifanya vizuri kwa nafasi yake na mimi nitakuwa nimefanya vizuri, mimi nikifanya vizuri kwa nafasi yangu, naye atakuwa amefanya vizuri kwa kuwa wote lengo letu ni kuifikisha Simba kule inakokutaka..”
Tshabalala, Sonso watemwa Taifa Stars
Katika orodha hii, kuna sura ngeni akiwemo Salim Aiyee huku wengine wakiachwa kutoka katika kikosi cha Amunike cha awali.
Sasa tunamtaka Erasto Nyoni kikosi cha kwanza Stars
Uzoefu wa kuchezea Stars kwa miaka Zaidi ya 13 sasa, nguvu, ufundi na uwezo wa juu katika kuusoma mchezo.
Kutoka Misri 1-0 Stars, mwambieni Amunike Samatta ni namba 10, Bocco 9
Timu ya Tanzania jana ilikuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri, katika mchezo huo Tanzania ilipoteza kwa kufungwa bao moja bila. Je Kiwango cha timu umekikubali? Pitia uchambuzi huu
Matokeo ya uwanjani ndio ubora wa jezi
Jezi mpya ya Tanzania imezinduliwa na itatumiwa na timu zote za Taifa kwa upande wa mpira wa Miguu nchini.
Wanaompinga Amunike, wamesahau sababu ya Yanga kuitwa Kandambili.
Uitwaji wa Kikosi cha Stars na jinsi kikosi hicho kinavyocheza, wadau wa soka wamekuwa wakimlaumu Amunike, na wengine kusema ilibidi aondoke baada ya kufuzu tu. Je hiki kisa unakikumbuka?
Kwanini makipa watano katika kikosi cha Stars?
Kikosi cha Timu ya taifa kipo nchini Misri na wachezaji 32, gumzo pia limekuwa kwanini kocha Aminike ameita makipa wengi