kubwa zaidi ni tiketi 100 kutoka kwa muunganilo wa Online Media Fc timu hii ya mpira wa miguu ambayo inahusisha wafanyakazi wa media zote za online nchi hii.
Sasa Stars wana kibarua kigumu dhidi ya majirani zetu Uganda ambapo kutakua na michezo miwili ndani ya siku nne. Stars itaanzia ugenini Machi 24 nchini Misri kabla ya kurudiana tena Machi 28 nyumbani
Mwisho wa siku ni Mchezaji wa timu ya Taifa huwezi kumuacha kwa sababu hachezi , hata mimi nimecheza timu ya Taifa wakati nilikuwa sichezi timu ya Klabu,
Adel Amrouche aliyetangazwa hivi karibuni kupewa mikoba ya Stars amewajumuisha wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi akichanganya na baadhi wanaocheza Ligi ya ndani.
Baada ya vigogo hao kumaliza ratiba zao tarehe 18 na 19 ya mwezi wa tatu watapumzika na kuipisha timu ya Taifa ya Tanzania kucheza michezo yake ya kufuzu Afcon