Sure Boy! Afisa mipango wa asili dimbani!
Kandanda likiwa kwake jua tayari mipango imeanza, kushoto, kulia, mbele, nyuma kote anakua ashatizama huku akili yake ikifanya kazi kwa wepesi.
Hebu tujifunze kwa Waingereza kidogo…
Waingereza walitupiana sana lawama, wakaja na sababu kibao za kwanini wameshindwa kombe la dunia. Tazama hii..
Lipangile: Ndoto ya kila mchezaji kushiriki CHAN!
Lipangile " napendelea kucheza kama mshambuliaji, ndio "naenjoy"zaidi kandanda niwapo uwanjani."
Tanzania kuwajua wapinzani wake leo!
Baada ya kufanikiwa kuwaondosha Burundi katika hatua ya awali sasa Tanzania inasubiri upangwaji wa makundi ili kuweza kuanza safari ya kufuzu kombe la Dunia nchini Qatar.
Hii ndio Tofauti kuu ya kiufundi kati ya Kapombe na Kessy.
anaweza kucheza kama “Inverted Full back” Kwa maana timu inaposhambulia, Kessy hupanda na kuungana na kiungo wa ulinzi.
Amunike aliwezaje kufunga magoli?
Mpaka sasa unajua kuwa Stars ya Ettiene imefunga magoli mawili tu katika dakika 90 katika mechi tano.
Eti mechi ya Stars, ‘Ball Boys’ walikuwa Warundi.
Kutakuwa na makundi 10, kundi letu litakuwa na timu nne, tutacheza mechi 6, tatu ugenini na tatu nyumbani. Mechi hizi zinahitaji mbinu za uwanjani na hata nje ya uwanja. Waokota mipira ni sehemu ya mashambulizi na ulinzi wa Stars.
Raha ya Goli la Mbali
Mpwa wenu nawapa Taifa stars 75% kufuzu makundi, ila tujitokeze kwa wingi “kuanikiza" ushindi siku ya Jumapili.
Shamte apewe muda, yule Msuva hatari! Unamuelewa Mao?
Hii hapa mpwa wangu nimekuletea zawadi hii kutoka Bujumbura kuhusu wachezaji walivyocheza, twende sasa..
Tazama usafiri ambao Taifa stars walipewa Burundi
Mpira wa Afrika una mambo mengi, hivi ndivyo walivyotaka Taifa Stars ibanane ndani ya basi hili.