Alichokisema Amunike leo.
Kitu muhimu ni kuwaunga mkono Taifa Stars huko waliko wapate ushindi.
Nakiunga mkono kikosi cha Amunike kwa sababu moja tu!
Kila mtu ana jicho lake, jinsi anavyokiona kikosi cha Amunike. kuna wanaoona kikosi kimesheheni mabeki watupu, kuna wanaoona kikosi kiliwahitaji baadhi ya nyota ambao hawakuitwa. Lakini jambo pekee la msingi la kushika ni kwamba UKOCHA NI TAALUMA.
Kwa kutumia kanuni hii, Simba haoo robo fainali Klabu Bingwa Afrika.
Ugumu wa mechi ya Simba vs As Club Vita utachagizwa na matokeo ya mechi za awali yaani Simba dhidi ya JS Saoura na AS Vita dhidi ya Al ahly. Jumla AS Club Vita wanaweza kupata alama 1-3 katika michezo yake miwili iliyosalia na mwisho wa siku kuwa na jumla ya alama 5-7.
Haji Manara uko kimya sana, leo ni siku yako
Simba yupo uwanjani leo dhidi ya Al Ahly
Tunaukimbia ukweli kwa kujificha kwenye kichaka cha kumlaumu Amunike!
Tarehe 22/08/2017 niliamka na mawazo sana, mawazo ambayo yalitokana na mimi kuona furaha ambayo walikuwa nayo Watanzania baada ya kutangazwa...
Wanayanga wanalazimisha kuona wakiwa wamefumba MACHO!
Hakuna mtaji mkubwa duniani kama maarifa, maarifa ndiyo mtaji mkubwa na wa kwanza kwenye dunia hii ambayo taarifa ndiyo mfalme...
Haruna ni mmoja tu!
Haruna Moshi Shaaban almaarufu kama "Boban" ni yuleyule tuu. Haruna mchezaji wa zamani wa klabu ya SimbaSc, France Rangers Gefle...
Goli la Ngoma katika uwanja ´mbovu´ liwastue TFF sasa.
DONALD Dombo Ngoma alifunga goli pekee na kuipa ushindi muhimu timu yake ya Azam FC katika mchezo wa ugenini dhidi...
Simba kupewa kitu cha ‘NOTO’
Msemaji wa Ruvushooting amekuja na kali kabisa, msikilize katika video hiyo alipohojiwa na Azam Tv....
Goli la ‘video’ la Ajib vs Mbao, ni mwanzo wa majibu ya fimbo tulizomchapa?
Kwanza unapaswa kumlaumu mlinzi wa Mbao Fc, Amos Charles . katika mazingira ambayo hakuwa katika presha yoyote anapoteza kujiamini- sijui...