Emery awatahadhalisha wachezaji wake.
Kocha wa Arsenal Unai Emery amesema licha ya matokeo ya mabao 3-1 katika mchezo wa kwanza nusu fainali ya Uropa dhidi ya Valencia, lakini bado anauona mchezo wa marudiano kuwa ni 50-50. Emery amesema ni matokeo mazuri kuyapata wakiwa nyumbani lakini anaamini kuwa mchezo wa mkondo wa pili utakuwa mgumu...