Kiungo wa majogoo wa jiji Liverpool Naby Keita, amesema anaendelea vizuri, baada ya kufikishwa hospitali usiku wa kuamkia jana, kufuatia majeraha ya mgongo alioyapata akiwa katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya SSC Napoli. Mchezo huo uliomalizika kwa Liverpool kufungwa bao moja kwa sifuri, ulishuhudia kiungo huyo...
Kundi A Atletico Madrid 3 - 1 Club Brugge Borussia Dortmund 3 - 0 Monaco Kundi B PSV Eindhoven 1 - 2 Inter Tottenham Hotspur 2 - 4 Barcelona Kundi C Paris Saint Germain 6 - 1 FK Crvena Zvezda SSC Napoli 1 - 0 Liverpool Kundi D Lokomotiv Moscow 0 - 1 Schalke 04 C Porto 1 - 0 Galatasaray...
Mlinzi wa Barcelona Gerald Pique anaweza kuwa mchezaji wa 36 kucheza michezo 100 ya ligi ya Mabingwa Ulaya usiku timu yake itakapocheza na Tottenham Hotspur kwenye uwanja wa Wembley jijini London. Pique anaweza kuiongoza Barcelona leo ambao walishinda katika mchezo wao wa kwanza kwa mabao 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven....
Bayern Munich vs Ajax. BAYERN MUNICH KUSHINDA. Mechi tano Bayern kashinda 3, sare moja na kafungwa 1. Ajax kashinda 4 kafungwa 1. Bayern hawajawahi kupoteza dhidi ya Ajax kwenye uwanja wake wa nyumbani katika mechi nne zilizopita. Akifunga magoli 11 na kuruhusu 2. Kwenye mechi za kwenye makundi Bayern Munich...
Orodha hii ya magoli inahusisha mechi zote ukiondoa za hatua ya kufuzu. Mchezaji Nchi Magoli Michezo Ratio Mwaka Klabu 1 Cristiano Ronaldo Portugal 120 153 0.78 2003– Manchester United Real Madrid 2 Lionel Messi Argentina 103 126 0.82 2005– Barcelona 3 Raúl Spain 71 142 0.5 1995–2011 Real Madrid Schalke...
Ligi ya Mabingwa Ulaya imerudi tena kwa michezo nane huku Lionel Messi na Roberto Firmino wakiachaa gumzo baada ya kuzisaidia timu zoa kuibuka na ushindi katika michuano hiyo. Katika mchezo wa kwanza kabisa mapema Lionel Messi aliiongoza Barcelona kupata ushindi mnono wa magoli 4 dhidi ya PSV huku yeye akifunga...
Mshambuliaji wa timu ya soka ya Tottenham Hotspurs, Harry Kane amesema anajisikia yupo fit pengine kuliko wakati wowote licha ya kuanza taratibu kwenye ligi kuu soka England . Kane ambaye msimu uliopita alifunga mabao 41, yakiwemo 30 ya kwenye ligi ya England, amefunga mabao mawili tu katika mechi tano ambazo...
Ule usiku wa Ulaya uliokua unasubiriwa kwa hamu kwelikweli na mashabiki wa dunia nzima umerudi tena. Ligi ya mabingwa Ulaya imerudi tena kwa moto wa hali ya juu kwa ufunguzi wa mechi kali na tamu ambazo zinakata kiu ya kusubiri kwa muda mrefu. Baada ya Real Madrid chini ya kocha...
UHISPANIA: Real Madrid, Atlético Madrid, Barcelona, Valencia UJERUMANI: Bayern München, Borussia Dortmund, Schalke, Hoffenheim UINGEREZA: Manchester City, Manchester United, Tottenham Hotspur, Liverpool ITALIA: Juventus, Napoli, Roma, Internazionale Milano UFARANSA: Paris Saint-Germain, Lyon, Monaco URUSI: Lokomotiv Moskva, CSKA Moskva URENO: Porto UKRAINI: Shakhtar Donetsk UBELGIJI: Club Brugge UTURUKI: Galatasaray CHEKI: Viktoria...
Mwanzo mwa msimu ulianza na tabiri nyingi kuhusu maisha ya Zinedine Zidane pale Santiago Bernabeau. Wengi waliamini miguu yake haiwezi kudumu kukanyaga nyasi za Santiago Bernabeu. Tulimpa mwezi wa kuwepo Santiago Bernabeu, tukampa wiki mbili, Mwisho wa siku tukampa mechi tatu lakini akili ya Perez haikuwa kama tulivyokuwa tunawaza na...