UhamishoMwingine Atimka Yanga na Kutua Afrika KusiniMwandishi Wetu9 months agoalisaini mkataba wa kujiunga nao kabla ya msimu mpya na ameanza mchakato wake wa kupata kibali cha kufanya kazi na kukimbia kabla ya kuhamia Afrika Kusini rasmi.
TahaririYanga Katika Ndoto ya Kutisha Iliyo Kwenye Maono ya Gamondi.Vicent Crement9 months agoMiguel Gamondi amebeba siri nzito, Gamondi amebeba ndoto za kutisha za Wananchi, Gamond anakibarua kizito cha kutafsiri ndoto hizo za kuogofya.
TetesiHii Hapa Timu Mpya ya Nabi Nchini MoroccoMwandishi Wetu9 months agoKocha huyo mwenye umri wa miaka 58 ataiongoza klabu hiyo kutetea taji linalotamaniwa la Botola Pro
TetesiNasraddine Nabi Kuchukua Nafasi ya Kocha wa SimbaMwandishi Wetu10 months agoSasa kwa mujibu wa KickOff.com kocha huyo wa Tunisia huenda akapata kibarua kizuri zaidi huku wababe wa Morocco
TetesiOnyango Haendi Popote, Nabi Akiri Kusikitishwa Kukosa KibaruaMwandishi Wetu10 months agoKambi ya Nasraddine Nabi imethibisha kusikitishwa na kitendo cha Kazier Chiefs kumtangaza kocha mpya licha ya kukaa katika makubaliano kwa muda mrefu
UhamishoDili la Nabi Layeyuka Sauzi, Chiefs Yatambulisha Kocha MwingineMwandishi Wetu10 months agoInaaminika miongoni mwa sababu zilizowafanya Chiefs na Nabi kushindwa kuelewana na ni moja ya sharti la Nabi kutaka kwenda na wasaidizi wake
TetesiBeki Yanga Kuibukia KMC, Simba Yadaiwa Mamilioni CameroonMwandishi Wetu10 months agohuenda akatambulisha ndani ya masaa 48 kutokea sasa baada ya yeye mwenyewe kukiri wapo katika hatua za mwisho za kukubaliana na Kaizer Chiefs
UhamishoHuyu Hapa Muargentina Mpya wa YangaMwandishi Wetu10 months agoMara ya mwisho Migeul alionekana na klabu ya Ittihad Tanger kabla ya kuachana nayo April mwaka jana na sasa amejiunga na Wananchi
TetesiPitso Mosimane Ampitisha Kocha Yanga!Mwandishi Wetu10 months agoAnajua aina hiyo ya stresi kwa hiyo angeweza kushughulikia presha na stresi vizuri.
TetesiKaizer Chiefs Wakubaliana na Masharti ya Nabi Kubeba Wawili Yanga.Mwandishi Wetu10 months agoKulingana na vyanzo, Chiefs sasa wamemwambia Nabi kwamba anaweza kuleta hadi wasaidizi wake wawili na wanamwachia kocha kuamua katika idara gani.