Al Ahly Yapewa Ruhusu ya Mashabiki Kuelekea Mchezo wa Mabingwa Afrika
Awali kulikua na katazo la mashabiki katika viwanja vya soka nchini Misri kutokana na sababu za kiusalama na kupelekea michezo mingi nchini huo kuhudhuriwa kwa idadi maalum ya mashabiki.