Simba kuanza safari ya Morocco kwa mafungu
Mpaka sasa Simba wana alama tisa nafasi ya pili wakati wapinzani wao Raja wapo kileleni wakiwa na alama 13 hivyo matokeo yoyote hayatobadilisha msimamo wa kundi D.
Mpaka sasa Simba wana alama tisa nafasi ya pili wakati wapinzani wao Raja wapo kileleni wakiwa na alama 13 hivyo matokeo yoyote hayatobadilisha msimamo wa kundi D.
Kwasasa Shomary hajaitwa kikosini Stars kiasi cha kupelekea wadau wa soka kutoa maoni tofauti na kuwa gumzo baada ya uteuzi huo wa kocha mpya wa Stars Adel Ameorouche.
Ahmed Alli pia katika hafla hiyo amesema John Bocco aliwahi kumwambia Simba haipaswi kununua mchezaji wa miaka 18 halafu ikawa inasubiri akomae ndio wamtumie.
Tunatangaza udhamimi kwa Simba na moja kwa moja katika soka la vijana na kwa kuanzia tuu tutatoa hizi pesa.
Sasa Simba na Yanga zinapishana katika viwanja vya ndege vya Kimataifa wakienda kupambana na vigogo wengine Afrika, wakati pia tuna uhakika wakupata mechi nzuri kila weekend pale Kwa Mkapa
Tayari ratiba ya michuano hiyo imeshatoka na sasa michezo ya robo fainali itapigwa kati ya Aprili mbili mpaka Aprili nane mwaka huu.
Simba pia imeingia katika rekodi mbovu ya nidhamu kwani mpaka sasa katika michezo mitano wachezaji wake wameonyshwa kadi
Neema ya fedha hizo si tu inawakuta Simba na Yanga bali pia Shirikisho la soka nchini TFF wanahusika katika fedha hizo.
Nawapongeza wachezaji wangu kwa kuweza kufuata maelekezo tuliyowapa na kusababisha kupata ushindi huu
Simba sasa wameshafuzu kwenda robo fainali hivyo mchezo wa mwisho wa kundi lao dhidi ya Raja Casablanca ugenini utakua ni wakukamilisha ratiba.