Kocha Simba: Tumejiandaa lengo letu ni robo fainali
Simba wanapaswa kukumbuka jinsi walivyoifunga AS Vita na kutinga robo fainali mwaka 2019 na kutinga robo fainali wakipita katika kundi lao na Al Ahly.
Simba wanapaswa kukumbuka jinsi walivyoifunga AS Vita na kutinga robo fainali mwaka 2019 na kutinga robo fainali wakipita katika kundi lao na Al Ahly.
Pia katika kikosi hicho amejumuishwa kiungo wa Simba Clatous Chama na pia kiungo wa Amazulu Rally Bwalya aliyekua mchezaji wa zamani wa Simba.
Baadhi ya wachezaji wengine wa Ulaya wanaocheza klabu kubwa na maarufu barani humo ambao wataungana na Sakho katika kikosi hicho ni pamoja na Gana Gueye, Khalidou Coulibaly, Pape Sarr na Keprin Diatta.
Walinzi wengine wa pembeni walioitwa katika kikosi cha Stars Kibwana Shomary [Yanga], Datius Peter [Kagera Sugar] na Yahya Mbegu wa Ihefu wote hawapo katika orodha hiyo.
Mshindi wa michuano hiyo ndio ataiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Hivyo ni wazi vilabu vya Azam Fc na Singida Big Stars vitaendelea kukabana koo ili kupata ushindi na kupata nafasi ya kuwakilisha nchi Kimataifa
Aidha pia Ahmed amesema wao hawawezi kuweka kiingilio bure katika mchezo huo kama ambavyo Mamelody Sundowns walifanya dhidi ya Al Ahly
Katika hatrick zote sita ni Jean Baleke ndio ameweka rekodi tofuati katika ufungaji wake mpaka sasa.
Goli la tatu Baleke alilifunga katika dakika ya 34 kwa kupata pasi ya kichwa kutoka kwa Shomary Kapombe baada ya kuunganisha mpira wa juu uliopigwa na Sadio Kanoute “Putin”.
Kwa kufunga mabao hayo matatu “hatrick” anaungana na John Bocco, Fiston Mayele na Ibrahim Mukoko msimu huu ambao nao wamefunga hatrick na kufanya zifike tano msimu huu.
Kikosi cha Simba kimefanya mazoezi yake ya mwisho katika Dimba la Jamuhuri Morogoro kuelekea mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa katika Dimba la Manungu.