archiveZinedine Zidane

Zidane aanza vita na Liverpool.

Inaripotiwa kuwa, zidane ana mipango ya dhati ya kukisuka kikosi cha Los Blancos kilichopoteza mataji kadhaa hadi sasa chini ya wakufunzi Julen Lopetegui na Santiago Solari.

Kwaheri Eden Hazard.

Muda wa mashabiki wa Chelsea kusema “kwaheri” kwa mshambuliaji wao matata na msumbufu, Mbelgiji Eden Hazard umewadia.
1 2
Page 1 of 2