Mwamba akiwa na rekodi mbalimbali za mabao lakini hii moja ndio iliyonivutia zaidi, Zlatan ndie mchezaji aliefunga bao katika kila dakika ya mchezo wa soka akiwa uwanjani
Makala hii inakuletea baadhi ya sajili ambazo zimeonekana kulipa na wachezaji kuingia moja kwa moja katika vikosi vya kwanza na kuleta faidi katika timu