Mabingwa Ulaya

Mancini: Balotelli bado hajawa fiti kuitwa timu ya Taifa.

Kocha wa timu ya Taifa ya Italia, Roberto Mancini amesema bado hajashawishika kumjumuisha mshambuliaji wa Marseille Mario Balotelli katika kikosi cha timu ya Taifa kwa ajili ya michezo ya kufuzu kwenye fainali za Mataifa Ulaya mwaka 2020. Mancini amesema licha ya Balotelli kuwa katika kiwango kizuri lakini bado hajawa sawa...
Serie A

Hali ya David Ospina imetengemaa, baada ya kuanguka uwanjani.

Kocha wa Napoli Carlo Ancelotti amesema hali ya mlinda mlango wa timu hiyo David Ospina aliyepoteza fahamu jana kwenye mchezo wa ligi ya Italia (Seria A) kati yao na Udinese inaendelea vizuri na hakuna jambo kubwa sana la kiafya. Ancelotti amesema wanashukuru baada ya vipimo imeonesha kuwa Ospina hana tatizo...
Mataifa Afrika

Nguema aondolewa kwenye kikosi cha Taifa.

Beki wa kati Gilchrist Nguema ameenguliwa katika kikosi cha timu ya Taifa cha Gabon kinachojiandaa na mchezo wake wa mwisho wa kufuzu kwenye fainali za Mataifa Afrika (AFCON) dhidi ya Burundi. Nguema ambaye alikuwa miongoni mwa wachezaji 23 walioitwa kujiandaa na mchezo huo wa Machi 23, 2019 mjini Bujumbura, ameondolewa...
EPL

Scholes na siku 31 Oldham, fahamu wengine wenye rekodi kali zaidi.

Kiungo wa zamani wa Manchester United Paul Scholes ameingia kwenye rekodi ya makocha ambao wamezitumikia timu zao kwa kipindi kifupi zaidi baada ya kutangaza kuachia ngazi kuifundisha timu ya Oldham Athletic toka alipojiunga nayo mwezi uliopita. Scholes mwenye umri wa miaka 44 ameikacha timu hiyo baada ya kuiongoza katika michezo...
EPLLa LigaMabingwa UlayaSerie A

England ndiye mfalme wa Ulaya.

Kwa mara ya kwanza baada ya Miaka kumi, nchi moja imefanikiwa kuingiza timu nne kwenye hatua ya robo fainali ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya, baada ya usiku wa kuamkia leo Liverpool kuungana na Manchester United, Tottenham Hotspurs na Manchester City kwa ushindi wa mabao 3-1 ugenini dhidi ya Bayern...
Mabingwa Ulaya

Imebaki Barcelona tu, historia iandikwe.

Inawezekana baada ya vilabu vya Uhispani kutawala kwenye ligi ya Mabingwa Ulaya kwa zaidi ya mwongo mmoja kwenye hatua ya robo fainali, Mwaka huu tukashindwa kabisa kuiona miamba hiyo ya soka kwenye hatua hiyo muhimu. Baada ya Valencia kuondolewa kwenye hatua ya makundi, tumeshuhudia Real Madrid wakitolewa na Ajax kwa...
La LigaMabingwa Ulaya

Zidane azima ndoto za Ronaldo kurejea Madrid.

Kocha mpya wa Real Madrid Zinedine Zidane amezima ndoto za mashabiki wengi kumuona Cristiano Ronaldo anarejea kwenye klabu hiyo baada ya hapo jana Zidane kutangazwa kocha mpya ikiwa ni miezi 10 tu toka atangaze kuachia ngazi kwenye klabu hiyo. Zidane alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Ronaldo kurejea Real Madrid amesema kwa...
1 4 5 6 7 8 34
Page 6 of 34