Mtibwa waibwekea Singida United.
Kikosi cha timu ya soka ya Mtibwa Sugar (wanaTamTam) chini ya kocha wake Zubeir Katwila kimeendelea na mazoezi katika uwanja wake wa nyumbani wa Manungu Complex, Turiani kujiandaa na mchezo ujao wa ligi kuu bara (TPL) dhidi ya Singida United mchezo utakaochezwa Jumanne hii mkoani Morogoro. Kuelekea mchezo huo afisa...