Nantes watozwa faini kwa kuomboleza kupotea kwa Emiliano Sala.
Klabu ya soka ya Nantes ya nchini Ufaransa imepigwa faini kwa kosa la kuwasha mioto wakati wakiombeleza kupotea kwa mshambuliaji wao Emilliano Sala mwezi uliopita. Shirikisho la sok nchini Ufaransa limeitoza klabu hiyo faini ya shilingi milioni 43.7 baada ya mashabiki wake kuwasha baruti na mioto katikati ya bango kubwa...