EPL

EPL

Wenger tazama muda umekuacha

Miaka 21 imepita, miaka yenye rangi mbili ndani ya maisha ya Arsene Wenger ndani ya kikosi cha Arsenal. Hapana shaka rangi nyeupe ilitanda katika ngozi ya mwili wake ndani ya miaka 10 ya kwanza. Miaka ambayo alifanikiwa kupata mafanikio makubwa katika soka la England. Mafanikio ambayo yalimpa heshima kubwa sana...
EPL

Pep Guardiola ashitakiwa Uingereza

Meneja wa klabu wa klabu ya Manchester City, Pep Guardiola, ameshatakiwa na chama cha soka cha Uingereza (FA) kwa kosa la kuvaa riboni yenye ujumbe wa kisiasa Meneja huyo alivaa riboni hiyo, kwenye mchezo wa kombe la FA dhidi ya Wigan Athletic ambapo alipoteza kwa kufungwa bao 1-0 na kuondolewa...
EPL

Hiki ndicho kilichosababisha Arsenal kuzidiwa na Spurs.

Tottenham Hotspurs katika mchezo huu walicheza mfumo wa 4-2-3-1 wakati Arsenal walicheza mifumo miwili ndani ya mchezo huu, mfumo wa kwanza ulikuwa 4-3-3 na mfumo wa 4-5-1 kwa nyakati tofauti. Wakati walipokuwa wanashambulia Arsenal walikuwa wanacheza mfumo wa 4-3-3 na walipokuwa wanajilinda walikuwa wanatumia wa 4-5-1 ambapo Ozil na Mkhtaryian...
EPL

Kwa leo Wembley utakuwa uwanja mgumu kwa Arsenal

Kwa miaka ya hivi karibuni North London Derby imekuwa na mvuto kutokana na Tottenham Hotspurs kuwa timu ya ushindani tofauti na miaka mingi ya nyuma. North London Derby ya 195 itakayopigwa katika uwanja wa Wembley, wanakutana kwa mara ya kwanza baada ya miaka 23. Mara ya mwisho timu hizi kukutana...
EPL

Upi ni udhaifu wa Bakayoko ?

Msimu jana Antonio Conte alikuwa anatumia mfumo wa 3-4-3, mfumo ambao ulimpa uhuru wa kuwatumia Kante na Matic kama viungo wa kati. Matic alicheza kama box to box midfielder na alifanikiwa kupiga pasi za mwisho za magoli zaidi ya saba katika ligi kuu ya England peke yake. Baada ya msimu...
EPL

Sura ya Conte inaonesha kesho yake

Jana Antonio Conte alirudi kwenye mfumo wake wa msimu uliopita wa 3-4-3, mfumo ambao ulimpa ubingwa lakini msimu huu akawa anautumia mara chache kwa kuhamia katika mfumo wa 3-5-2. Jana wakati anautumia mfumo wa 3-4-3, kwenye karatasi ulionekana mfumo ambao unafanana na mfumo uliompa ubingwa msimu jana, lakini kiuhalisia kulikuwa...
EPL

Licha Ya Arsenal Kushinda, Bado Ina Mapungufu

Jana tulishuhudia Pierre-Emirick Aubameyang akicheza mechi yake ya kwanza akiwa na jezi ya Arsenal. Mechi hii Pierre-Emirick Aubameyang alifanikiwa kufunga goli akipokea pasi kutoka kwa Henrikh Mkhitaryan ambaye alitoa pasi tatu za magoli kwenye mechi hii. Mechi hii Arsenal alicheza katika mfumo wa 4-2-3-1, mfumo ambao ulimwacha Pierre-Emirick Aubameyang kuwa...
EPL

Pep Akataa Kumlaumu Sterling, Sanchez na Lukaku Waibeba Man U

Kocha wa Manchester city Pep Guardiola, amekataa kumlaumu mshambuliaji wake Raheem Sterling baada kikosi chake kushindwa kupata ushindi dhidi Bunley huku mshambuliaji huyo akikosa nafasi ya pekee. Ikiwa mbele kwa bao 1-0 na dakika 18, zikisalia ili mchezo huo kumalizika, Sterling alishindwa kufunga akiwa ndani ya sita baada ya kupokea...
EPL

Sajili Bora za Dirisha Dogo Msimu huu

Dirisha dogo la usajili lilifungwa tarehe 31 mwezi uliopita na kushuhudia timu mbalimbali zikinunua na kuuza baadhi ya wachezaji. Hawa ni baadhi ya wachezaji bora kusajiliwa na timu mbalimbali, na jinsi ambavyo watazisaidia timu zao katika mifumo tofauti. Alexis Sanchez, Ametoka Arsenal na kujiunga katika timu ya Manchester United. Msimu...
EPL

Hawa Wanavuta Mkwanja Mrefu EPL

Soka ni mchezo pendwa sana na yawezekana ndio unaoongozwa, katika michezo yote duniani ni mchezo ambao una umri wa karne moja na miongo miwili toka kuanzishwa kwake mwishoni mwa karne ya 19 Ni mchezo ambao umekuwa ukivutia sana kuutazama, licha matokeo ya kustaajabisha ambayo hutokea kwenye mechi zake lakini pia...
1 11 12 13 14 15
Page 13 of 15