Waamuzi waliwaua Alliance Fc dhidi ya Yanga
"lakini kikubwa niseme kuwa kwamba, Mimi napenda waamuzi wawe wanaangalia, tumenyima takribani penalti tatu".
Mziray: Kwa muda huu!!, Mbeya City wamekwisha.
Alliance wanashuka dimbani jumapili hii kucheza na Mbeya City kwenye uwanja wa Nyamagana wakitoka kupata alama moja dhidi ya Tanzania Prisons baada ya sare ya bao 1-1
Dady: Tanzania Prisons walitumudu.
Alama moja ambayo Alliance waliyoipata dhidi ya Tanzania Prisons kwenye uwanja wa Nyamagana imewafanya kufikisha alama 25
Alliance waukubali mziki wa Mbao.
Katika mchezo huu Mbao wametuzidi kwenye eneo la kiungo, walikuwa bora zaidi na ndio maana walituzidi sana kwenye mchezo wa leo, niwape sifa kwa kuwa walikuwa bora kimbinu,
Malinzi: Mbao vs Alliance ni dabi ya pili kwa ukubwa TPL.
Msemaji wa klabu ya soka ya Mbao ‘Wabishi’ Clisant Malinzi ameutaja mchezo wa Jumamosi hii wa ligi kuu soka Tanzania...
Kisa Bigirimana Blaise, Stand United wazitaka point tatu za Alliance.
Uongozi wa klabu ya soka ya Stand United umelitaka Shirikisho la Kandanda nchini kupitia Bodi ya ligi kuwapatia alama tatu...
Hawa ndio waliosajiliwa/ kuondoka Alliance Sch FC
Klabu ya soka ya Alliance School ya jijini Mwanza imetoa taarifa ya usajili walioufanya katika dirisha dogo la usajili ambalo...
Alliance waipigia mazoezi ya kijeshi Biashara United.
Klabu ya soka ya Alliance ya jijini Mwanza chini ya kocha Malale Hamsini Keya imeendelea kujifua katika uwanja wa Nyamagana...
Alliance wakanusha kuondokewa na wachezaji.
Uongozi wa Klabu ya soka ya Alliance ya Jijini Mwanza umekanusha taarifa zilizoanza kuenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa timu...
Mmiliki wa Alliance watofautiana na kocha wake.
Jana timu ya soka ya Alliance Schools kutoka Mwanza ilikuwa inacheza na timu ya Simba katika uwanja wa Taifa jijini...