Ni kweli katika Ligi kuna viungo wengi wengine wazuri na bora kama kina Aziz Ki, Clatous Chama, James Akamiko, Feisal Salum na Sixtus Sabilo lakino wote hao hawamfikii Saidoo
Kwa ushindi huo sasa Yanga wanafikisha alama 68 wakiwa kileleni na kuendelea kuwaacha Simba wanaoshika nafasi ya pili kwa tofauti ya alama 8 katika msimamo wa Ligi.