Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon Roger Milla anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi goli katika michezo ya fainali ya kombe la Dunia
limeingia makubaliano na mabenki pamoja na mashirika kuhakikisha wachezaji wote wanaocheza ligi nchini Cameroon wanapatiwa Bima za afya hususani wazawa
Wakati wengi wakiamini World Cup ya 1994 si zama zake tena ,Mzee huyu alikuwepo Marekani na alifunga tena katika mchezo ambao Cameroon walifungwa mabao 6 - 1.
Timu ya Cameroon tayari imewasili nchini iliwa tayari kabisa kushiriki michuano ya Afcon kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 inayofanyika Tanzania kwa mara ya kwanza.