Simba Yaanza Kukusanya Mamilioni Baada ya Ushindi
Mechi itachezwa siku yenye baraka, naomba kuwakaribisha Watanzania wote kuja kuangalia timu mbili bora zikicheza
Mechi itachezwa siku yenye baraka, naomba kuwakaribisha Watanzania wote kuja kuangalia timu mbili bora zikicheza
Katika mchezo huo Yanga walifanikiwa kupiga mashuti sita yaliyolenga lango lakini yote yaliishia mikononi mwa mlinda mlango wa Simba Ally Salim huku Fiston Mayele pekee akipiga mashuti matatu yaliyolenga lango.
Simba hatimae imefuta uteja mbele ya Yanga baada ya kushindwa kupata ushindi kwa miaka mitatu mfululizo kwenye mechi za Ligi Kuu
Kwa ushindi huo sasa Simba wamepunguza tofauti ya alama dhidi ya vinara Yanga na sasa zimebaki alama tano pekee.
Bado matumaini na macho ya Wanakandanda yanabaki wa washambuliaji wawili kutoka Congo Jean Baleke na Fiston Mayele. Hakika mchezo wa watani upo mikononi mwao kesho.
Katika hatua nyingine pia Cedrik Kaze amesema timu yake ina wachezaji bora na wakubwa na ndio maana wao ni bora. Kaze amezungumza kwamba wachezaji wakubwa ndio huamua mechi kubwa na kuipa timu makombe.
Kocha huyo Mbrazil amesema kwa upande wake kandanda ni sanaa na burudani hivyo anapenda kuwaburudisha mashabiki kiwanjani akiwa na wachezaji wake bora.
Mlinzi huyo wa pembeni amekua katika kiwango kizuri katika michezo ya Ligi Kuu kutokana na uwezo wake mkubwa wa kukaba na kumbuliaji akitumia akili nyingi ndani ya uwanja.
Yanga wao ni wazi wataingia katika mchezo huo wakiwa kifua mbele kwani hawana presha yoyote kutokana na historia nzuri mbele ya Mnyama waliyonayo hivi karibuni.
Kamwe pia amesema kwa sasa hivi wao wanakwenda kuingia katika mchezo huo bila kuifikiria Simba kwani wana wachezaji wakubwa ambao wanajua nini wafanye hivyo mchezo huo ni kama maandalizi ya mchezo wao wa robo fainali.