Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Aliyewahi kuwa beki wa Nkana FC msimu uliopita Ramadhani Kessy amejiunga na klabu ya Mtibwa Sugar ya mjini Morogoro. Ramadhani Kessy ambaye amemaliza mkataba wake na klabu ya Nkana FC ametua kwenye klabu ya Mtibwa Sugar akiwa mchezaji huru. Ramadhani Kessy anaenda Mtibwa Sugar kuziba nafasi ya Kibwana Shomari ambaye...
Wengi tunafahamu kuwa Luc Eymael siyo kocha tena wa Yanga baada ya Yanga kumfukuza kutokana na kutoa maneno ambayo yalikuwa yana chembechembe za ubaguzi. Watu wengi walikuwa wanasubiri ni kocha yupi ambaye angekuja kuchukua nafasi aliyoiacha Luc Eymael ambaye ni raia wa nchini Burundi ambaye ni Cedric Kaze. Luc Eymael...
Baada ya kukosa namba katika klabu ya Simba tangu arejee kutoka Misri alipobahatika kucheza soka la kulipwa , Shiza Ramadhani Kichuya anaonekana kutaka kurudi kwenye klabu yake ya zamani ya Mtibwa Sugar. Shiza Ramadhani Kichuya alisajiliwa na Simba akitokea kwenye klabu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro. Mipango bado inaendelea ili...
Kuliripotiwa habari za urejeo wa aliyewahi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Yanga , Mwinyi Zahera katika ligi yetu. Mwinyi Zahera aliwahi kuhudumu kwa kipindi cha mwaka mmoja kwenye ligi kuu akiwa kocha mkuu wa Yanga. Picha zilienea zikimuonesha Mwinyi Zahera akiwa na viongozi wa Gwambina FC , timu ambayo...
Unaukumbuka ule utatu mtakatifu wa Shiza Ramadhani Kichuya, Mzamiru Yassin na Mohammed Ibrahim ? Utatu huu ulikuwa chini ya kocha Joseph Omong. Lakini mpaka sasa hivi utatu huu umeshavunjika. Waliopo kwenye kikosi cha Simba ni wawili tu, Shiza Ramadhani Kichuya pamoja na Mzamiru Yassin na wote wanaonekana hawana nafasi ya...
Kwa mujibu wa taratibu za shirikisho la mpira wa miguu barani Africa , CAF nchi 12 zenye ligi bora hutoa timu 4 kwenye mashindano ya vilabu ya CAF , yani ligi ya mabingwa barani Africa pamoja na kombe la shirikisho barani Africa. Msimu wa mwaka 2019/2020 Tanzania ilifanikiwa kuwa kwenye...
Baada ya jana mkuu wa kitengo cha habari cha Azam FC , Zaka za Zakazi kuwatuhumu Yanga kuandika barua wakijifanya ni Salum Abubakary "SureBoy" leo hii Afisa habari wa Yanga , Hassan Bumbuli amedai kuwa wao hawamtaki Salum Abubakary "SureBoy". Hassan Bumbuli amedai kuwa ni kweli walipeleka barua Azam FC...
Jana Azam FC kupitia kwa mkuu wa kitengo cha habari cha Azam FC , Zaka za Zakazi walielezea kitu ambacho wao wamekiona kama uhuni unaofanywa na Yanga. Zaka za Zakazi alidai kuwa wakati Yanga wanaleta barua ya kumtaka Salum Abubakary "SureBoy" walimtuma mwanachama wa Yanga kitu ambacho ni kizuri. Lakini...
Suala kubwa kwa sasa kwenye anga la mpira wetu ni suala la Bernard Morrison na klabu yake ya Yanga. Yanga wanadai kuwa wana mkataba na Bernard Morrison mpaka 2022 na Bernard Morrison amedai hana mkataba na Yanga. Wakati hili na Bernard Morrison halijaisha limeibuka jingine ambalo ni la Kibwana Shomari...