La Liga

EPLLa LigaMabingwa UlayaSerie A

England ndiye mfalme wa Ulaya.

Kwa mara ya kwanza baada ya Miaka kumi, nchi moja imefanikiwa kuingiza timu nne kwenye hatua ya robo fainali ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya, baada ya usiku wa kuamkia leo Liverpool kuungana na Manchester United, Tottenham Hotspurs na Manchester City kwa ushindi wa mabao 3-1 ugenini dhidi ya Bayern...
La LigaMabingwa Ulaya

Zidane azima ndoto za Ronaldo kurejea Madrid.

Kocha mpya wa Real Madrid Zinedine Zidane amezima ndoto za mashabiki wengi kumuona Cristiano Ronaldo anarejea kwenye klabu hiyo baada ya hapo jana Zidane kutangazwa kocha mpya ikiwa ni miezi 10 tu toka atangaze kuachia ngazi kwenye klabu hiyo. Zidane alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Ronaldo kurejea Real Madrid amesema kwa...
La Liga

Antonio Conte aongoza mbio za kumrithi Julen Lopetegui

Aliyekua meneja wa klabu ya Chelsea Antonio Conte, anatajwa kuwa katika orodha ya makocha wanaopewa nafasi ya kuajiriwa na uongozi wa mabingwa wa soka barani Ulaya Real Madrid. Jina la meneja huyo limechukua nafasi ya juu kwenye orodha hiyo, kufuatia joto la kufukuzwa kwa mkuu wa benchi la ufundi klabuni...
1 2 3 4
Page 2 of 4