EPL

BlogEPL

Mmoja akamatwa, kwa maneno ya kibaguzi dhidi ya Beki wa Wigan

Kijana mmoja nchini Uingereza amejisalimisha mwenyewe Polisi mjini Blackpool baada ya kuandika maneno ya kibaguzi kwenye akaunti ya Twitter kuelekea kwa mlinzi wa Wigan Nathan Byrne. Kijana huyo amejisalimisha wakati ambapo Polisi wakiwa katika uchunguzi kufuatia klabu ya Wigan kupeleka malalamiko baada ya mashabiki kadhaa kuandika maneno ya Kibaguzi kwa...
EPL

Ukame wa mabao kwa Salah, wamlazimisha Klopp kuzungumza!

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amesema haoni kabisa kama mshambuliaji wake raia wa Misri Mohamed Salah anasumbuliwa na tatizo la msongo wa mawazo kutokana na kushindwa kuzitingisha nyavu katika michezo nane iliyopita. Salah ambaye msimu uliopita alifunga mabao 44 katika mashindano yote, msimu huu umekuwa mgumu kwake akifunga mabao 20...
EPL

Hawa ndio nyota sita, wanaoondoka Manchester United.

Klabu ya soka ya Manchester United ipo mbioni kuwaachia nyota wake sita katika kipindi cha majira ya joto kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuisha mikataba, kupungua viwango vyao pamoja na sababu nyingine mbalimbali. Nia hiyo ni maalumu kwa ajili ya kumsaidia Kocha Ole Gunnar Solskajaer kufanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi...
EPL

Ole: United inahitaji alama 15 kuingia ‘Top Four’!

Meneja wa klabu ya soka ya Manchester United Ole Gunnar Solskajaer amesema ili waweze kumaliza katika nafasi nne za juu kwenye ligi kuu England ni lazima washinde michezo mitano kati ya sita ambayo imebaki. Ole ameyasema hayo baada ya timu yake kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Wolverhampton Wanderers...
1 2 3 4 5 6 15
Page 4 of 15