EPL

EPL

Ole apewa rasmi usukani wa Manchester United.

Klabu ya soka ya Manchester United imemtangaza kocha Ole Gunnar Solskjaer ambaye alikuwa akikaimu nafasi ya umeneja toka kuondoka kwa Jose Mourihno kuwa meneja wa kudumu kwa mkataba wa miaka mitatu. Kocha huyo ambaye alikuwa akiifundisha Molde ya nchini Norway toka mwaka 2015 amechukua rasmi mikoba ya Jose Mourihno katika...
EPL

Manchester city yajawa na matumaini ya kunasa saini ya Ronaldo.

Klabu ya soka ya Manchester City ya England imepata matumaini ya kumsajili kinda wa Benfica ya Ureno Ronaldo Camara ambaye anawaniwa na vilabu vingine vikubwa ikiwemo Barcelona na Manchester United. Kinda huyo mwenye umri wa miaka 16 ni miongoni mwa wachezaji wanaotajwa kuwa tishio katika siku za usoni kwani tayari...
EPL

Scholes na siku 31 Oldham, fahamu wengine wenye rekodi kali zaidi.

Kiungo wa zamani wa Manchester United Paul Scholes ameingia kwenye rekodi ya makocha ambao wamezitumikia timu zao kwa kipindi kifupi zaidi baada ya kutangaza kuachia ngazi kuifundisha timu ya Oldham Athletic toka alipojiunga nayo mwezi uliopita. Scholes mwenye umri wa miaka 44 ameikacha timu hiyo baada ya kuiongoza katika michezo...
EPLLa LigaMabingwa UlayaSerie A

England ndiye mfalme wa Ulaya.

Kwa mara ya kwanza baada ya Miaka kumi, nchi moja imefanikiwa kuingiza timu nne kwenye hatua ya robo fainali ya ligi ya Mabingwa barani Ulaya, baada ya usiku wa kuamkia leo Liverpool kuungana na Manchester United, Tottenham Hotspurs na Manchester City kwa ushindi wa mabao 3-1 ugenini dhidi ya Bayern...
BlogEPL

Peter Crouch: Natamani Liverpool wawe mabingwa, ila…….!

Mshambuliaji wa Burnley inayoshiriki ligi kuu England Peter Crouch amesema anatamani sana kuiona Liverpool ikinyakua ubingwa lakini pia anatamani kunyakuwa alama tatu muhimu kwenye mchezo wao wa ligi watakapokuwa ugenini wakicheza na Liverpool mwishoni mwa juma hili. Crouch mwenye umri wa miaka 38 amesema mara zote amekuwa akifurahia anapocheza kwenye...
EPL

Pochettino afungiwa mechi mbili

Pochettino, pia atatakiwa kulipa faini ya paundi 10,000 na kufungiwa kwake kutamfanya akose mchezo wa ugenini dhidi ya Southampton na ule wa nyumbani watakaoikaribisha Crystal Palace
1 3 4 5 6 7 15
Page 5 of 15