Mataifa Afrika

Mataifa Afrika

Kwa elfu 13 tu unaishuhudia Taifa Stars nchini Misri.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetangaza gharama za tiketi za kutazama mechi za Fainali ya Africa (AFCON) inayotarajia kuanza mwezi ujao nchini Misri. CAF imetangaza gharama hizo kwa madaraja mbalimbali, ambpo kwenye michezo ya hatua ya makundi ambayo itahusisha timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” tiketi za...
1 2 3 4 5 7
Page 3 of 7