ASFCIlikua ni Sopu dhidi yaYanga.Tigana Lukinja2 days agoSopu alivunjavunja ile 'partnership ' ya Job na Mwamnyeto ya ndani ya klabu na timu ya Taifa, maana huwa wanacheza hivyo hivyo
ASFCNi Wananchi na Wagosi fainali!Thomas Mselemu1 month agoVijana wa Juma Mgunda walipaswa wajilaumu wenyewe kama wangepoteza mchezo huo kwani walitengeneza nafasi kibao za wazi
ASFCYanga ilistahili ushindi mbele ya Simba dhaifu!Thomas Mselemu1 month agoUteuzi wa kikosi na mbinu za Pablo ndizo ziwafanya Simba waambulie patupu katika mchezo huo.
ASFCNusu fainali ya wakubwa itakayoamuliwa kwa historia na mbinu.Tigana Lukinja1 month ago Mchezo huu si mzuri kwa Azam kama wataruhusu waende kwenye mikwaju ya matuta kwa maana wao ndio watakua na presha zaidi.
ASFCNi vita ya historia Arusha.Thomas Mselemu1 month agoNi mchezo utakaowakutanisha wakubwa katika nchi hii, ukiwaondoa Simba na Yanga ni wazi Coastal Union na Azam Fc ni miongoni mwa vilabu vikubwa nchini
ASFCTigana: Simba atashinda, Mayele amezoeleka!Thomas Mselemu1 month agoYes Mwanza imepata bahati ya kuandaa mtanange huu mkubwa Afrika Mashariki na Kati na uzuri ni kwamba lazima kuwepo na mshindi, huu sio mchezo wa Ligi kwamba uishe sare
ASFCHabari ikufikie Mwananchi!Thomas Mselemu1 month agoKikosi cha Yanga kipo kambini kamili gado tayari kabisa kumvaa Mnyama katika mchezo wa kisasi kwa upande wao
ASFCJumamosi tulivu ya Sato na Sangara.Tigana Lukinja1 month agoMakocha wote wawili ni waumini wa mifumo yenye idadi kubwa ya viungo pale kati ili kuleta usawa mzuri kwenye kushambulia na kijihami
ASFCUsichokijua katika safari ya Simba kombe la FA!Thomas Mselemu1 month agoSimba imecheza michezo mitatu ikiwa mwenyeji dhidi ya Dar City, JKT Tanzania na Pamba Fc. Sio tu imepata ushindi lakini pia..
ASFCSimba ya Lwanga na Benno kuelekea kisasi cha msimu!Thomas Mselemu1 month agoHivyo kuelekea mchezo wa nusu fainali ya FA ni wazi Simba atakua na kisasi cha kulipa kwa Yanga ili "ku-level scorebody".