Baada kuanza kwa kipigo cha mabao matatu kwa sifusi West Brom wanahitaji mshambuliaji wa kwenda kuongeza nguvu katika eneo la mbele huku wakiona Mbwana Samatta
Michezo yote 92 iliyobaki itatangazwa moja kwa moja, na mechi nne kuonyeshwa na kituo cha BBC mara ya kwanza kufanywa kuwa bure kwanda hewani kwenye TV
Hali imekua tofauti kwa timu ya Mtanzania Mbwana Samatta walau wao wameonja ushindi mara nyingi zaidi ya Arsenal ambapo wamepata ushindi mara 7 katika EPL.