Kwa hii Yanga, Deus Kaseke na Ditram Nchimbi mmmh!! – 3
Pia hili mdogo wangu Ditram Nchimbi atanijibu kwanini amebadilisha jezi yake toka aliyojibrand nayo no 29 akavaa 2 then Tuisila akavaa 29
Hii ‘Top Scorer’ ikiwa haina wachezaji wageni.
Umewahi fikiria kama orodha ya wafungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara ingekuwa haina wachezaji wa kigeni?
Huu ndio usajili bora VPL dirisha dogo?
Tuambie ni kwako anafaaa kua usajili bora namba moja katika dirisha dogo na nina aliekuvutia kati ya sajili hizi tano, tupe maoni maoni yako.
Ditram Nchimbi: Nitafunga sana “hatrick”
Nchimbi ameiambia tovuti ataendelea kusaka mabao kadri ya nguvu za Mungu zitakavyomruhusu kuweza kufanya vyema na kutupia magoli. Huku pia akiahidi kuendelea kufunga "Hatrick" katika VPL.
Ni vita isiyoumiza, Wawa vs Nchimbi?
Nchimbi akiwa ndio mchezo wake wa kwanza akiwa na jezi ya Yanga na pia mchezo wa kwanza wa Watani alionjeshwa joto hilo na beki mzoefu Pascal Wawa, katika dakika 90 za mchezo huo.
DITRAM NCHIMBI alikuwa beki wa kwanza wa YANGA
Jana katika mchezo dhidi ya Simba kocha wa Yanga Charles Boniface Mkwasa aliamua kuanza na mshambuliaji mmoja wa kati...
Nimeshakomaa, lazima niwafunge Simba-NCHIMBI
Baada ya tetesi zilizokuwa zimeeenea kuhusu uhamisho wa Ditram Nchimbi kutoka Azam FC kwenda Yanga kwa uhamisho wa milioni...
Killi Stars yaibukia Zanzibar
Kwa matokeo hayo sasa Killi Stars inakua na alama tatu baada ya michezo miwili huku Zanzibar Heroes wakibaki na alama yao moja walioipata katika mchezo wa kwanza dhidi ya Sudan.
Azam fc inazidi kupukutika!
Klabu ya soka ya Azam FC imeendelea kupunguza wachezaji wake baada ya kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara katika...