Mwongoza njia Nasrdin Nabi yeye ndie pekee alikuwa anajua ni njia gani anawapitisha japo ilikuwa na miba lakini mkapita salama kwa sare ya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam
Wachezaji wote wako vizuri na wanajituma mazoezini na kwa pamoja tunajua bado hatujafuzu tunahitaji matokeo mazuri kesho ili tuweze kwenda hatua inayofuata,
Nae kiungo wa pembeni wa Yanga Benard Morrison akizungumza kwa niaba ya wachezaji wenzake amesema hawakwenda Nigeria kujifurahisha wanataka kushinda mchezo huo
Nae nyota wa Yanga aliyehusika katika magoli mengi zaidi katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika Kenedy Musonda amesema wanajua malengo yao wao kama wachezaji