Said Ndemla awa lulu, wababe wanataka kumrudisha mjini.
Said Ndemla alijiunga na Mtibwa msimu huu akitokea Simba Sc baada ya aliyekua kocha wa wa Simba wakati huo Didier Gomes kumkataa
Said Ndemla amefufuka amekua Paul Scholes mpya!
, kama alipata kumuona labda kuna vitu alicopy kwake, kwa kile nilichokiona kwake jana akili yangu ilihama na kudhani Scholes amerejea kucheza soka.
Wachezaji wa eneo la kiungo walivyoteka soko la usajili.
Inaaminika Simba walitenga dola 40,000 ili kupata saini yakelakini yeye akaamua kusaini Yanga kwa dola 25,000 tu.
Corona kumbakisha Ndemla Simba!
Ama kwa hakika kurejea kwa Ligi baada ya kusimama kupisha ugonjwa wa Corona kitakua ni kipindi cha neema kwa Ndemla
Ndemla aandaliwa kumthibiti Ever Banega Taifa!
Ndemla amekua akitumika kama kiungo wa chini kwa sasa na mwalimu Patrick Aussems hivyo basi katika mchezo dhidi ya Sevilla huenda akawa katika kikosi cha kwanza na kukutana na nahodha wa Sevilla.
Kocha amkomalia kiungo Simba.
Waliokua nje ni pamoja na kipa Ally Salim, Yusuph Mlipili na kiungo Said Ndemla
Nani kuziba pengo la Jonas Mkude?
Je tumtegemee swaiba wake Said Hamis Ndemla kupewa eneo la kati na kulitendea haki?
Mkude anachakujifunza kwa Feisal Salum “Toto”
Baada ya kufunga goli lile zuri dhidi ya Nkana huenda ikapita tena miaka mingi ndipo aje kufunga goli zuri kama lile
Ndemla atua Yanga.
Ndemla ataungana na Ibrahim Ajib ambaye ashawahi kutoka Simba na Kuja Yanga na waliwahi kucheza pamoja katika timu ya Simba.
Mwalimu mzuri wa Chama ni ‘Ndemla na sio Mkude’.
Haya yote sio lazima ayasikie kutoka kwa Aussems ni lazima aujue mchezo kama mchezaji. Na hapa ndio utapata maana halisi ya maneno ya Meddie Kagere kuwa “Game Intelligence is better than age” na ndio maana kila siku Emmanuel okwi anaonekana kuwa mtu