TetesiGeorge Mpole Anarudi, Lomalisa Mambo Freshi.Mwandishi Wetu10 months agoLigi Kuu DR Congo alikokuwa akicheza kwenye kikosi cha FC Lupopo kusimama kwa sababa za kiuchumi na vita na sasa yupo Bongo
TahaririAheshimiwe mchezaji mzawa!Thomas Mselemu2 years agoKila shabiki haamini katika wazawa, sasa nani atawaamini? (Inafikirisha). Imagine hali hii ingekuwa mtaani kote na kumhusu kila mmoja nani angepona.
Ligi KuuSimba yaishindilia Mtibwa, Ndemla ashangaza!Thomas Mselemu2 years agokuutumbukiza wavuni. Katika hali ya kushangaza kiungo wa Simba anaeitumikia Mtibwa Sugar kwa mkopo alitolewa nje ya uwanja katika kipindi cha pili.
TetesiSaid Ndemla awa lulu, wababe wanataka kumrudisha mjini.Thomas Mselemu2 years agoSaid Ndemla alijiunga na Mtibwa msimu huu akitokea Simba Sc baada ya aliyekua kocha wa wa Simba wakati huo Didier Gomes kumkataa
StoriSaid Ndemla amefufuka amekua Paul Scholes mpya!Tigana Lukinja4 years ago, kama alipata kumuona labda kuna vitu alicopy kwake, kwa kile nilichokiona kwake jana akili yangu ilihama na kudhani Scholes amerejea kucheza soka.
TetesiWachezaji wa eneo la kiungo walivyoteka soko la usajili.Thomas Mselemu4 years agoInaaminika Simba walitenga dola 40,000 ili kupata saini yakelakini yeye akaamua kusaini Yanga kwa dola 25,000 tu.
Ligi KuuCorona kumbakisha Ndemla Simba!Thomas Mselemu4 years agoAma kwa hakika kurejea kwa Ligi baada ya kusimama kupisha ugonjwa wa Corona kitakua ni kipindi cha neema kwa Ndemla
SportpesaNdemla aandaliwa kumthibiti Ever Banega Taifa!Thomas Mselemu5 years agoNdemla amekua akitumika kama kiungo wa chini kwa sasa na mwalimu Patrick Aussems hivyo basi katika mchezo dhidi ya Sevilla huenda akawa katika kikosi cha kwanza na kukutana na nahodha wa Sevilla.
BlogKocha amkomalia kiungo Simba.Thomas Mselemu5 years agoWaliokua nje ni pamoja na kipa Ally Salim, Yusuph Mlipili na kiungo Said Ndemla
Mabingwa AfrikaNani kuziba pengo la Jonas Mkude?Thomas Mselemu5 years agoJe tumtegemee swaiba wake Said Hamis Ndemla kupewa eneo la kati na kulitendea haki?