Banda: Simba wana mbinu chafu, watabebwa na marefa!
Ninachojua ni kwamba Pirates itafuzu kwa nusu fainali baada ya mikondo miwili. Ingekuwa hatari kama Pirates wangecheza Johannesburg kwanza.
Ninachojua ni kwamba Pirates itafuzu kwa nusu fainali baada ya mikondo miwili. Ingekuwa hatari kama Pirates wangecheza Johannesburg kwanza.
Kifupi nao ni ‘washamba’ kama si wageni na njia naamini ni nafasi ya Simba kusonga mbele kama watakuwa na matumizi mazuri Estadio de Mkapa hiyo April 14.
Kwa sasa, jana na kesho Simba Sponga ndio babalao na ndio chuo kikuu cha soka bongo. Imefanikiwa kutinga robo fainali tena ya kombe la shirikisho. Balaa lake ni lipi? Soma hii.
Wanamuita Henoc Inonga Baka, mtu hatari sana ila ana mapungufu mengi sana.
Wekundu wa msimbazi wana’ Lunyasi’ leo watakuwa ugenini kupeperusha bendera ya nchi kama ilivyo kawaida yao
“Taifa hili linahitaji Msaada mkubwa sana kwenye Mpira wa Miguu! Niseme tu sisi kama Sponga tumebeba Dhamana kubwa sana kulikomboa hili Taifa”
Wengi watajiuliza nini maana yangu juu ya hao wachezaji waliocheza Simba kwa vipindi viwili tofauti kila moja akikonga nafsi za mashabiki wa Wanamsimbazi na wasio wa club hiyo.
Leo tunasubiri kuona mechi ya kombe la shirikisho la CAF kati ya wenyeji Simba vs RS Berkane Estadio De Mkapa.
Dalili ya awali kabisa kwa kundi hili ni kila mmoja kuonekana kuwa na uwezo wa kushinda kwake. Simba hesabu zake zinafeli?
Bai moja bila dhidi ya Mbeya City, dhidi ya Kagera na sasa dhidi ya Mtibwa Sugar