Giza la Yanga ni mwanga wa Simba
Jana giza liliingia mapema sana hapa nchini, giza ambalo lilikuja na majonzi makubwa sana kwa Watanzania wengi Muambatano huu wa...
Simba ikiyafanya haya machache Waarabu wamekwisha
Mara baada ya Yanga sc kuangukia pua hapo jana kwa kukubali kichapo wakiwa nyumbani cha mabao 2-1 kutoka kwa Township...
Kichwa cha MO-Ibrahim Kinaipeleka Miguu Yake Dimbwini
Where Am I ? Ni moja ya kitabu bora kabisa cha mwanafilosofia Daniel Dennett alichokiandika mwaka 1978. Kitabu ambacho alikitumia...
Mabati ya Azam Fc, Yamenawirisha paa la Simba
Abdul Mohamed alikuwa na maono, maono ambayo yalikuwa ni msingi wa kuiimarisha Azam FC na kuwa timu imara kwa muda...
Ghafla Nimemkumbuka “MO-Ibrahim”.
Msimu jana alishirikiana na kina Shiza Kichuya, Mzamiru Yasin kuibeba Simba. Pamoja na uzito wa Simba , ugumu wa njia...
Simba sc, ni wakimataifa zaidi!
Simba sc, imetinga mzunguuko wa kwanza wa michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kuiondosha Gendermarie ya Djibouti...
Watani waendelea kuchanja mbuga
Wawakilishi wa Tanzania kunako michuano ya kimataifa Simba na Yanga, wote wanataraji kuanzia nyumbani michezo yao ya mzunguuko wa kwanza...
SimbaSc Yafikia Hoteli Ya Kifahari Nchini Djibouti.
Kikosi cha Simba sc kipo nchini Djibouti, tayari kwa mchezo wa marejeano wa michuano ya kombe la shrikidho dhidi ya...
Zimbwe angusha uso kabla hujaenda Mvange
Inawezekana ndiye alikuwa mchezaji bora na muhimu katika kikosi cha Simba msimu uliopita. Aliifanya kazi yake bila kupumzika, kila mechi...
Uchambuzi Simba sc vs Azam fc
Kwa kuutazamia mchezo kati wenyeji Simba sc dhidi ya Azam fc, kwa hakika utakuwa ni mchezo mzuri na wenye ushindani...