02:00Asb: Hofu wa Mipira ya Juu
Gwiji wa Arsenal, Denis Bergkamp alizikosa mechi za ugenini za Arsenal sababu ya hofu yake ya kupanda ndege, na si mipira ya juu. Hii ndo sababu baadhi ya mashabiki wa Arsenal humuita "Mholanzi asiyepaa". Muholanzi huyo ilimbidi kupanda treni katika mechi za ugenini za Arsenal na sio ndege na wenzake,...