Bado Moja JKT Tanzania Wapishane na Ruvu Shooting
Kama ikitokea hivyo ni dhahiri shahiri JKT Tanzania watakua wamerudisha burudani kwa wakazi wa Wilaya ya Kinondoni kwani haswa wa maeneo ya Tegeta, Bokko, Mbweni, Bunju na Kunduchi kwani ndio timu pekee yenye uwanja Wilaya ya Kinondoni.