Fuatilia dondoo mubashara hapa zikiletwa kwenu na Thomas Mselemu na Martin Kiyumbi moja kwa moja kutoka uwanja wa Taifa. Jiunge na mjadala na kuipongeza Simba SC kwa kutwaa ubingwa wa Ligi kuu.
Sevilla walioletwa nchini ni Sportpesa wanakuja kucheza na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sports Club mchezo wa kirafiki wa kimataifa nchini.
Tazama msimamo hapa baada ya ushindi wa mabao mawili kwa sifuri huku magoli ya Simba yakifungwa na Meddie Kagere dakika ya 10 na John Bocco dakika ya 60.
Ndemla amekua akitumika kama kiungo wa chini kwa sasa na mwalimu Patrick Aussems hivyo basi katika mchezo dhidi ya Sevilla huenda akawa katika kikosi cha kwanza na kukutana na nahodha wa Sevilla.
Ikumbukwe Sevilla sc mabingwa mara 5 wa Europa League wanakuja kucheza Tanzania kwa mara ya kwanza wakiletwa kwa udhamini wa Sportpesa walio na uhusiano mzuri na uongozi wa Laliga nchini Hispania.
Katika mchezo wa kwanza Kagera Sugar waliifunga Simba mbili kwa moja huku pia msimu uliopita wakiwafunga bao moja kwa sifuri mbele ya Rais John Magufuli
Kutoa zaidi ya milioni 80 kwa mchezaji kama Ajib sawa, lakini je, mchezaji huyo ataongeza ubora gani mpya katika safu ya washambuliaji kama John Bocco, Meddie Kagere na Emmanuel Okwi.?