“Battle” kali za kuzishuhudia katika mchezo wa Simba na Yanga!
Homa ya pambano la watani wa jadi inazidi kupanda kwelikweli. Zikiwa zimebaki siku mbili tuu ili mtanange huu upigwe huku timu zote zikiweka kambi Morogoro zikijiandaa na mchezo huo. Kandandacotz inakuletea "battle" kali zitakazotokea katika uwanja wa Taifa Dar es salaam endapo walimu wa pande zote mbili hawatobadili sana vikosi...