Baadhi ya michezo ya 16 ni pamoja na Simba dhidi ya African Sports, Yanga dhidi ya Tanzania Prisons na Azam Fc dhidi ya Mapinduzi Fc pia Kagera Sugar atavaana na Mbeya City.
Yes Mwanza imepata bahati ya kuandaa mtanange huu mkubwa Afrika Mashariki na Kati na uzuri ni kwamba lazima kuwepo na mshindi, huu sio mchezo wa Ligi kwamba uishe sare